1 Wafalme 18:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na Ahabu akamwambia Obadia: “Tembea katika nchi kwenye mabubujiko yote ya maji na kwenye mabonde yote ya mito. Labda tutapata majani mabichi,+ ili tuwahifadhi hai farasi na nyumbu na ili wanyama zaidi wasiangamie.”+ Ayubu 6:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ndugu zangu wametenda kwa hila,+ kama mto wa majira ya baridi kali,Kama mfereji wa mito ya majira ya baridi kali inayoendelea kukauka.
5 Na Ahabu akamwambia Obadia: “Tembea katika nchi kwenye mabubujiko yote ya maji na kwenye mabonde yote ya mito. Labda tutapata majani mabichi,+ ili tuwahifadhi hai farasi na nyumbu na ili wanyama zaidi wasiangamie.”+
15 Ndugu zangu wametenda kwa hila,+ kama mto wa majira ya baridi kali,Kama mfereji wa mito ya majira ya baridi kali inayoendelea kukauka.