1 Wafalme 18:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Obadia alipokuwa akienda zake, akakutana na Eliya. Mara moja Obadia akamtambua, akaanguka chini kifudifudi na kumuuliza: “Je, ni wewe, bwana wangu Eliya?”+
7 Obadia alipokuwa akienda zake, akakutana na Eliya. Mara moja Obadia akamtambua, akaanguka chini kifudifudi na kumuuliza: “Je, ni wewe, bwana wangu Eliya?”+