24 Naye Yehova akamtokea usiku huo na kusema: “Mimi ni Mungu wa Abrahamu baba yako.+ Usiogope,+ kwa sababu mimi nipo pamoja nawe, nami nitakubariki wewe na kuuzidisha uzao wako kwa sababu ya Abrahamu mtumishi wangu.”+
7 Je, wewe mwenyewe, Ee Mungu wetu,+ hukuwafukuza wakaaji wa nchi hii kutoka mbele ya watu wako Israeli,+ kisha ukaikabidhi+ kwa uzao wa Abrahamu, mpendwa wako,+ mpaka wakati usio na kipimo?