1 Samweli 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Basi watu wakatuma ujumbe huko Shilo na kuchukua kutoka huko sanduku la agano la Yehova wa majeshi, anayeketi juu ya makerubi.+ Na wale wana wawili wa Eli walikuwa hapo pamoja na sanduku la agano la Mungu wa kweli, yaani, Hofni na Finehasi.+ Zaburi 24:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Basi, yeye ni nani, huyo Mfalme mtukufu?”“Yehova wa majeshi—yeye ndiye Mfalme mtukufu.”+ Sela.
4 Basi watu wakatuma ujumbe huko Shilo na kuchukua kutoka huko sanduku la agano la Yehova wa majeshi, anayeketi juu ya makerubi.+ Na wale wana wawili wa Eli walikuwa hapo pamoja na sanduku la agano la Mungu wa kweli, yaani, Hofni na Finehasi.+