89 Sasa wakati wowote ambapo Musa aliingia ndani ya hema la mkutano ili kusema naye,+ ndipo aliposikia sauti ikizungumza naye toka juu ya kifuniko+ kilichokuwa juu ya sanduku la ushuhuda, kutoka katikati ya wale makerubi+ wawili; naye akasema naye.
2 Kisha Daudi na watu wote waliokuwa pamoja naye wakaondoka, wakaenda Baale-yuda+ ili kuleta kutoka hapo sanduku+ la Mungu wa kweli, ambalo juu yake jina+ limeitwa, jina la Yehova wa majeshi,+ anayeketi juu ya makerubi.+
15 Na Hezekia akaanza kusali+ mbele za Yehova na kusema: “Ee Yehova Mungu wa Israeli,+ unayeketi juu ya makerubi,+ wewe peke yako ndiye Mungu wa kweli wa falme+ zote za dunia.+ Wewe mwenyewe umezifanya mbingu+ na dunia.+