Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 25:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nawe utafanya makerubi wawili wa dhahabu. Utawafanya kwa kazi ya kufua kwenye miisho miwili ya kifuniko.+

  • Hesabu 7:89
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 89 Sasa wakati wowote ambapo Musa aliingia ndani ya hema la mkutano ili kusema naye,+ ndipo aliposikia sauti ikizungumza naye toka juu ya kifuniko+ kilichokuwa juu ya sanduku la ushuhuda, kutoka katikati ya wale makerubi+ wawili; naye akasema naye.

  • 2 Samweli 6:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kisha Daudi na watu wote waliokuwa pamoja naye wakaondoka, wakaenda Baale-yuda+ ili kuleta kutoka hapo sanduku+ la Mungu wa kweli, ambalo juu yake jina+ limeitwa, jina la Yehova wa majeshi,+ anayeketi juu ya makerubi.+

  • 2 Wafalme 19:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na Hezekia akaanza kusali+ mbele za Yehova na kusema: “Ee Yehova Mungu wa Israeli,+ unayeketi juu ya makerubi,+ wewe peke yako ndiye Mungu wa kweli wa falme+ zote za dunia.+ Wewe mwenyewe umezifanya mbingu+ na dunia.+

  • Zaburi 80:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 80 Ee Mchungaji wa Israeli, tega sikio,+

      Wewe unayemwongoza Yosefu kama kundi.+

      Wewe unayeketi juu ya makerubi,+ uangaze.+

  • Zaburi 99:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 99 Yehova amekuwa mfalme.+ Vikundi vya watu na vifadhaike.+

      Anaketi juu ya makerubi.+ Dunia na itetemeke.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki