36 Karibu wakati wa kutoa toleo la nafaka la jioni,+ nabii Eliya akaja mbele na kusema: “Ee Yehova, Mungu wa Abrahamu,+ Isaka,+ na Israeli, acha leo ijulikane kwamba wewe ni Mungu katika Israeli na kwamba mimi ni mtumishi wako na kwamba nimefanya mambo haya yote kwa neno lako.+