Hesabu 16:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Halafu Musa akasema: “Hivi ndivyo mtakavyojua kwamba Yehova amenituma nifanye mambo haya yote, na kwamba sijayatunga moyoni mwangu:* Yohana 11:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Kwa kweli, ninajua kwamba sikuzote wewe hunisikia; lakini nilisema kwa ajili ya umati waliosimama kunizunguka, ili waamini kwamba ulinituma.”+
28 Halafu Musa akasema: “Hivi ndivyo mtakavyojua kwamba Yehova amenituma nifanye mambo haya yote, na kwamba sijayatunga moyoni mwangu:*
42 Kwa kweli, ninajua kwamba sikuzote wewe hunisikia; lakini nilisema kwa ajili ya umati waliosimama kunizunguka, ili waamini kwamba ulinituma.”+