1 Wafalme 18:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nitakapokuacha, roho ya Yehova itakubeba na kukupeleka+ mahali ambapo sitajua, nami nikimwambia Ahabu naye asikupate, kwa hakika ataniua. Lakini mimi mtumishi wako nimemwogopa Yehova tangu nilipokuwa kijana.
12 Nitakapokuacha, roho ya Yehova itakubeba na kukupeleka+ mahali ambapo sitajua, nami nikimwambia Ahabu naye asikupate, kwa hakika ataniua. Lakini mimi mtumishi wako nimemwogopa Yehova tangu nilipokuwa kijana.