-
2 Wafalme 2:15, 16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
15 Wana wa manabii waliokuwa Yeriko walipomwona kwa mbali, wakasema: “Roho ya Eliya imetua juu ya Elisha.”+ Basi wakaenda kukutana naye na kumwinamia mpaka ardhini. 16 Wakamwambia: “Hapa sisi watumishi wako tuna wanaume mashujaa 50. Tafadhali, waruhusu waende kumtafuta bwana wako. Labda roho ya* Yehova imemwinua juu na kumtupa juu ya mojawapo ya milima au katika mojawapo ya mabonde.”+ Lakini akawaambia: “Msiwatume.”
-