11 Sasa unasema, ‘Nenda ukamwambie bwana wako: “Eliya yuko hapa.”’ 12 Nitakapokuacha, roho ya Yehova itakubeba na kukupeleka+ mahali ambapo sitajua, nami nikimwambia Ahabu naye asikupate, kwa hakika ataniua. Lakini mimi mtumishi wako nimemwogopa Yehova tangu nilipokuwa kijana.