Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 11:24, 25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Basi Musa akatoka na kuwaambia watu maneno ya Yehova. Akawakusanya wanaume 70 miongoni mwa wazee wa watu na kuwaagiza wasimame kuzunguka hema la mkutano.+ 25 Kisha Yehova akashuka katika wingu+ na kuzungumza naye,+ akachukua kiasi fulani cha roho+ iliyokuwa juu yake na kuiweka juu ya kila mmoja wa wale wazee 70. Na mara tu roho hiyo iliposhuka juu yao, wakaanza kutenda kama manabii,*+ lakini hawakufanya hivyo tena.

  • Hesabu 27:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa hiyo Yehova akamwambia Musa: “Mchukue Yoshua mwana wa Nuni, mwanamume aliye na roho,* na uweke mikono yako juu yake.+

  • Hesabu 27:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Utampa sehemu ya mamlaka* yako,+ ili Waisraeli wote wamsikilize.+

  • 2 Wafalme 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Mara tu walipovuka, Eliya akamwambia Elisha: “Omba jambo unalotaka nikutendee kabla sijachukuliwa na kukuacha.” Basi Elisha akamuuliza: “Tafadhali, naweza kupata mafungu mawili+ ya* roho yako?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki