-
Hesabu 11:24, 25Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
24 Basi Musa akatoka na kuwaambia watu maneno ya Yehova. Akawakusanya wanaume 70 miongoni mwa wazee wa watu na kuwaagiza wasimame kuzunguka hema la mkutano.+ 25 Kisha Yehova akashuka katika wingu+ na kuzungumza naye,+ akachukua kiasi fulani cha roho+ iliyokuwa juu yake na kuiweka juu ya kila mmoja wa wale wazee 70. Na mara tu roho hiyo iliposhuka juu yao, wakaanza kutenda kama manabii,*+ lakini hawakufanya hivyo tena.
-