9 Yoshua mwana wa Nuni alikuwa amejaa roho ya hekima, kwa kuwa Musa alikuwa ameweka mkono wake juu yake;+ na Waisraeli wakaanza kumsikiliza, nao wakafanya kama Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.+
16 Pia unapaswa kumtia mafuta Yehu+ mjukuu wa Nimshi awe mfalme wa Israeli, na umtie mafuta Elisha mwana wa Shafati kutoka Abel-mehola awe nabii baada yako.+
17 Pia, atamtangulia kwa roho na nguvu za Eliya,+ ili kurudisha mioyo ya akina baba kwa watoto+ na wale wasiotii kwenye hekima ya waadilifu, na kumwandalia Yehova* watu waliotayarishwa.”+