Kumbukumbu la Torati 31:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kisha Yehova akamwambia Musa, “Tazama! Wakati wako wa kufa umekaribia.+ Mwite Yoshua, nanyi mwende* kwenye hema la mkutano, ili nimweke yeye kuwa kiongozi.”+ Basi Musa na Yoshua wakaenda na kusimama kwenye hema la mkutano. 1 Timotheo 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Usipuuze zawadi uliyo nayo uliyopokea kupitia unabii, baraza la wazee lilipoweka mikono juu yako.+
14 Kisha Yehova akamwambia Musa, “Tazama! Wakati wako wa kufa umekaribia.+ Mwite Yoshua, nanyi mwende* kwenye hema la mkutano, ili nimweke yeye kuwa kiongozi.”+ Basi Musa na Yoshua wakaenda na kusimama kwenye hema la mkutano.
14 Usipuuze zawadi uliyo nayo uliyopokea kupitia unabii, baraza la wazee lilipoweka mikono juu yako.+