Hesabu 27:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa hiyo Yehova akamwambia Musa: “Mchukue Yoshua mwana wa Nuni, mwanamume aliye na roho,* na uweke mikono yako juu yake.+ Hesabu 27:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Atasimama mbele ya kuhani Eleazari, ambaye atatumia Urimu+ kujua uamuzi wa Yehova kwa niaba yake. Kwa agizo lake, yeye na Waisraeli wote na watu wengine wote watatoka, na kwa agizo lake wataingia ndani.” Yoshua 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Wakamwambia Yoshua: “Tutafanya yote ambayo umetuamuru, na tutaenda mahali popote unapotaka twende.+
18 Kwa hiyo Yehova akamwambia Musa: “Mchukue Yoshua mwana wa Nuni, mwanamume aliye na roho,* na uweke mikono yako juu yake.+
21 Atasimama mbele ya kuhani Eleazari, ambaye atatumia Urimu+ kujua uamuzi wa Yehova kwa niaba yake. Kwa agizo lake, yeye na Waisraeli wote na watu wengine wote watatoka, na kwa agizo lake wataingia ndani.”
16 Wakamwambia Yoshua: “Tutafanya yote ambayo umetuamuru, na tutaenda mahali popote unapotaka twende.+