Kutoka 28:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Utaweka Urimu na Thumimu*+ ndani ya kifuko cha kifuani cha maamuzi, nazo zitakuwa juu ya moyo wa Haruni anapoingia mbele za Yehova, naye Haruni atabeba daima juu ya moyo wake vitu hivyo vya kufanyia maamuzi kwa ajili ya Waisraeli mbele za Yehova. 1 Samweli 23:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Daudi alipopata habari kwamba Sauli alikuwa akipanga njama dhidi yake, akamwambia kuhani Abiathari: “Ilete efodi hapa.”+ 1 Samweli 28:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ingawa Sauli alikuwa akimwomba Yehova ushauri,+ Yehova hakumjibu kamwe, iwe ni katika ndoto au kwa Urimu+ au kupitia manabii. Nehemia 7:65 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 65 Gavana*+ akawaambia kwamba hawapaswi kula vitu vitakatifu kabisa+ mpaka apatikane kuhani ambaye angechunguza Urimu na Thumimu.+
30 Utaweka Urimu na Thumimu*+ ndani ya kifuko cha kifuani cha maamuzi, nazo zitakuwa juu ya moyo wa Haruni anapoingia mbele za Yehova, naye Haruni atabeba daima juu ya moyo wake vitu hivyo vya kufanyia maamuzi kwa ajili ya Waisraeli mbele za Yehova.
9 Daudi alipopata habari kwamba Sauli alikuwa akipanga njama dhidi yake, akamwambia kuhani Abiathari: “Ilete efodi hapa.”+
6 Ingawa Sauli alikuwa akimwomba Yehova ushauri,+ Yehova hakumjibu kamwe, iwe ni katika ndoto au kwa Urimu+ au kupitia manabii.
65 Gavana*+ akawaambia kwamba hawapaswi kula vitu vitakatifu kabisa+ mpaka apatikane kuhani ambaye angechunguza Urimu na Thumimu.+