9 Na Nehemia ambaye alikuwa gavana, Ezra+ aliyekuwa kuhani na mwandishi, na Walawi waliokuwa wakiwafundisha watu wakawaambia hivi watu wote: “Hii ni siku takatifu kwa Yehova Mungu wenu.+ Msiomboleze wala kulia.” Kwa maana watu wote walikuwa wakilia walipokuwa wakisikiliza maneno ya Sheria.