Ezra 7:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ifuatayo ni nakala ya barua ambayo Mfalme Artashasta alimpa Ezra aliyekuwa kuhani na mwandishi,* mwenye ujuzi mwingi* kuhusu amri za Yehova na masharti aliyowapa Waisraeli:
11 Ifuatayo ni nakala ya barua ambayo Mfalme Artashasta alimpa Ezra aliyekuwa kuhani na mwandishi,* mwenye ujuzi mwingi* kuhusu amri za Yehova na masharti aliyowapa Waisraeli: