Ezra 7:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na hii ni nakala ya barua ambayo Mfalme Artashasta alimpa Ezra kuhani, mwandikaji,+ mwandikaji wa maneno ya sheria za Yehova na masharti yake kwa Israeli: Ezra Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 7:11 Mnara wa Mlinzi,1/15/1986, uku. 9
11 Na hii ni nakala ya barua ambayo Mfalme Artashasta alimpa Ezra kuhani, mwandikaji,+ mwandikaji wa maneno ya sheria za Yehova na masharti yake kwa Israeli: