Ezra 7:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ifuatayo ni nakala ya barua ambayo Mfalme Artashasta alimpa Ezra aliyekuwa kuhani na mwandishi,* mwenye ujuzi mwingi* kuhusu amri za Yehova na masharti aliyowapa Waisraeli: Ezra Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 7:11 Mnara wa Mlinzi,1/15/1986, uku. 9
11 Ifuatayo ni nakala ya barua ambayo Mfalme Artashasta alimpa Ezra aliyekuwa kuhani na mwandishi,* mwenye ujuzi mwingi* kuhusu amri za Yehova na masharti aliyowapa Waisraeli: