Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 8:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Halafu akamvisha kifuko cha kifuani+ na kutia Urimu na Thumimu+ ndani ya kifuko hicho.

  • Hesabu 27:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Atasimama mbele ya kuhani Eleazari, ambaye atatumia Urimu+ kujua uamuzi wa Yehova kwa niaba yake. Kwa agizo lake, yeye na Waisraeli wote na watu wengine wote watatoka, na kwa agizo lake wataingia ndani.”

  • Kumbukumbu la Torati 33:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Akasema hivi kumhusu Lawi:+

      “Thumimu yako* na Urimu+ yako ni vya mtu aliye mshikamanifu kwako,+

      Uliyemjaribu kule Masa.+

      Ulianza kupambana naye karibu na maji ya Meriba,+

  • 1 Samweli 28:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ingawa Sauli alikuwa akimwomba Yehova ushauri,+ Yehova hakumjibu kamwe, iwe ni katika ndoto au kwa Urimu+ au kupitia manabii.

  • Ezra 2:62, 63
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 62 Hao walichunguza kumbukumbu zao ili wathibitishe ukoo wao, lakini hawakupata majina ya koo zao, kwa hiyo hawakustahili kuwa makuhani.*+ 63 Gavana* akawaambia kwamba hawangeweza kula vitu vitakatifu kabisa+ mpaka apatikane kuhani ambaye angechunguza Urimu na Thumimu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki