Kutoka 28:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Utaweka Urimu na Thumimu*+ ndani ya kifuko cha kifuani cha maamuzi, nazo zitakuwa juu ya moyo wa Haruni anapoingia mbele za Yehova, naye Haruni atabeba daima juu ya moyo wake vitu hivyo vya kufanyia maamuzi kwa ajili ya Waisraeli mbele za Yehova. Mambo ya Walawi 8:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa hiyo Musa akamleta Haruni na wanawe na kuwaosha kwa maji.+ Mambo ya Walawi 8:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Halafu akamvisha kifuko cha kifuani+ na kutia Urimu na Thumimu+ ndani ya kifuko hicho.
30 Utaweka Urimu na Thumimu*+ ndani ya kifuko cha kifuani cha maamuzi, nazo zitakuwa juu ya moyo wa Haruni anapoingia mbele za Yehova, naye Haruni atabeba daima juu ya moyo wake vitu hivyo vya kufanyia maamuzi kwa ajili ya Waisraeli mbele za Yehova.