Kutoka 28:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Utaweka Urimu na Thumimu*+ ndani ya kifuko cha kifuani cha maamuzi, nazo zitakuwa juu ya moyo wa Haruni anapoingia mbele za Yehova, naye Haruni atabeba daima juu ya moyo wake vitu hivyo vya kufanyia maamuzi kwa ajili ya Waisraeli mbele za Yehova. 1 Samweli 28:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ingawa Sauli alikuwa akimwomba Yehova ushauri,+ Yehova hakumjibu kamwe, iwe ni katika ndoto au kwa Urimu+ au kupitia manabii.
30 Utaweka Urimu na Thumimu*+ ndani ya kifuko cha kifuani cha maamuzi, nazo zitakuwa juu ya moyo wa Haruni anapoingia mbele za Yehova, naye Haruni atabeba daima juu ya moyo wake vitu hivyo vya kufanyia maamuzi kwa ajili ya Waisraeli mbele za Yehova.
6 Ingawa Sauli alikuwa akimwomba Yehova ushauri,+ Yehova hakumjibu kamwe, iwe ni katika ndoto au kwa Urimu+ au kupitia manabii.