Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Chochote kinachobaki cha toleo hilo la nafaka kitakuwa cha Haruni na wanawe,+ kitakuwa kitu kitakatifu kabisa+ kutoka kwa dhabihu za Yehova zinazochomwa kwa moto.

  • Hesabu 18:8, 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Yehova akaendelea kumwambia Haruni: “Mimi mwenyewe nilikuweka usimamie michango ninayoletewa.+ Nimekupa wewe na wanao sehemu ya vitu vyote vitakatifu vinavyotolewa kama mchango na Waisraeli ili viwe posho yenu ya kudumu.+ 9 Hivi ndivyo vitakavyokuwa vitu vyenu kutoka katika matoleo yote matakatifu kabisa yanayochomwa kwa moto: matoleo yao yote, kutia ndani matoleo yao ya nafaka+ na dhabihu zao za dhambi+ na dhabihu zao za hatia+ wanazoniletea. Ni vitu vitakatifu kabisa kwako na wanao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki