Hesabu 18:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na Yehova akazidi kumwambia Haruni: “Mimi nami, tazama! nimekupa wewe utunzaji wa michango inayotolewa kwa ajili yangu.+ Vitu vyote vitakatifu vya wana wa Israeli nimekupa wewe na wana wako viwe fungu, viwe posho mpaka wakati usio na kipimo.+
8 Na Yehova akazidi kumwambia Haruni: “Mimi nami, tazama! nimekupa wewe utunzaji wa michango inayotolewa kwa ajili yangu.+ Vitu vyote vitakatifu vya wana wa Israeli nimekupa wewe na wana wako viwe fungu, viwe posho mpaka wakati usio na kipimo.+