Hesabu 11:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kisha Musa akatoka na kusema na watu maneno ya Yehova. Naye akakusanya wanaume 70 kutoka kwa wanaume wazee wa watu na kuwasimamisha kulizunguka hema pande zote.+
24 Kisha Musa akatoka na kusema na watu maneno ya Yehova. Naye akakusanya wanaume 70 kutoka kwa wanaume wazee wa watu na kuwasimamisha kulizunguka hema pande zote.+