17 Nitashuka+ na kuzungumza nawe hapo,+ nami nitachukua kiasi fulani cha roho+ iliyo juu yako na kuiweka juu yao, nao watakusaidia kubeba mzigo wa watu hawa ili usiubebe peke yako.+
9 Mara tu walipovuka, Eliya akamwambia Elisha: “Omba jambo unalotaka nikutendee kabla sijachukuliwa na kukuacha.” Basi Elisha akamuuliza: “Tafadhali, naweza kupata mafungu mawili+ ya* roho yako?”+
15 Wana wa manabii waliokuwa Yeriko walipomwona kwa mbali, wakasema: “Roho ya Eliya imetua juu ya Elisha.”+ Basi wakaenda kukutana naye na kumwinamia mpaka ardhini.