Kutoka 33:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kila mara Musa alipoingia katika hema hilo, ile nguzo ya wingu+ ilishuka chini na kusimama kwenye mlango wa hema hilo Mungu alipokuwa akiongea na Musa.+ Hesabu 12:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehova akashuka katika nguzo ya wingu+ na kusimama kwenye mlango wa hema la mkutano, akamwita Haruni na Miriamu. Wote wawili wakaenda mbele. Kumbukumbu la Torati 31:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ndipo Yehova akatokea pale hemani katika nguzo ya wingu, na nguzo hiyo ya wingu ikasimama karibu na mlango wa hema.+
9 Kila mara Musa alipoingia katika hema hilo, ile nguzo ya wingu+ ilishuka chini na kusimama kwenye mlango wa hema hilo Mungu alipokuwa akiongea na Musa.+
5 Yehova akashuka katika nguzo ya wingu+ na kusimama kwenye mlango wa hema la mkutano, akamwita Haruni na Miriamu. Wote wawili wakaenda mbele.
15 Ndipo Yehova akatokea pale hemani katika nguzo ya wingu, na nguzo hiyo ya wingu ikasimama karibu na mlango wa hema.+