Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 33:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kila mara Musa alipoingia katika hema hilo, ile nguzo ya wingu+ ilishuka chini na kusimama kwenye mlango wa hema hilo Mungu alipokuwa akiongea na Musa.+

  • Hesabu 12:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Yehova akashuka katika nguzo ya wingu+ na kusimama kwenye mlango wa hema la mkutano, akamwita Haruni na Miriamu. Wote wawili wakaenda mbele.

  • Kumbukumbu la Torati 31:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ndipo Yehova akatokea pale hemani katika nguzo ya wingu, na nguzo hiyo ya wingu ikasimama karibu na mlango wa hema.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki