9 Kila mara Musa alipoingia katika hema hilo, ile nguzo ya wingu+ ilishuka chini na kusimama kwenye mlango wa hema hilo Mungu alipokuwa akiongea na Musa.+
38 Katika hatua zote za safari yao, Waisraeli wote waliona wingu la Yehova likiwa juu ya hema la ibada wakati wa mchana, na moto ukiwa juu yake wakati wa usiku.+