Kutoka 13:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Sasa Yehova alikuwa akiwatangulia mchana katika nguzo ya wingu ili awaongoze njiani,+ na wakati wa usiku katika nguzo ya moto ili awape nuru, waweze kusafiri mchana na usiku.+ Zaburi 99:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Alikuwa akiongea nao kutoka katika nguzo ya wingu.+ Walishika vikumbusho vyake na amri aliyowapa.+
21 Sasa Yehova alikuwa akiwatangulia mchana katika nguzo ya wingu ili awaongoze njiani,+ na wakati wa usiku katika nguzo ya moto ili awape nuru, waweze kusafiri mchana na usiku.+