21 Sasa Yehova alikuwa akiwatangulia mchana katika nguzo ya wingu ili awaongoze njiani,+ na wakati wa usiku katika nguzo ya moto ili awape nuru, waweze kusafiri mchana na usiku.+
16 Hivi ndivyo ilivyokuwa kila siku: Wingu hilo lilifunika hema wakati wa mchana, na kitu kilichoonekana kama moto kilikaa juu ya hema wakati wa usiku.+