Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 13:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Sasa Yehova alikuwa akiwatangulia mchana katika nguzo ya wingu ili awaongoze njiani,+ na wakati wa usiku katika nguzo ya moto ili awape nuru, waweze kusafiri mchana na usiku.+

  • Kutoka 14:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa hiyo ikaja kati ya kambi ya Wamisri na kambi ya Waisraeli.+ Upande mmoja, wingu hilo lilikuwa giza. Upande mwingine, uliangaza usiku.+ Hivyo, kambi ya Wamisri haikuikaribia kambi ya Waisraeli usiku kucha.

  • Kutoka 14:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Wakati wa kesha la asubuhi,* Yehova alitazama kambi ya Wamisri kutoka kwenye ile nguzo ya moto na wingu,+ naye akaivuruga kambi ya Wamisri.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki