1 Wafalme 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa hakika kama Yehova Mungu wako anavyoishi, hakuna taifa wala ufalme ambamo bwana wangu hakuwatuma watu wakutafute. Waliposema, ‘Hayuko hapa,’ aliagiza ufalme na taifa hilo liape kwamba limeshindwa kukupata.+
10 Kwa hakika kama Yehova Mungu wako anavyoishi, hakuna taifa wala ufalme ambamo bwana wangu hakuwatuma watu wakutafute. Waliposema, ‘Hayuko hapa,’ aliagiza ufalme na taifa hilo liape kwamba limeshindwa kukupata.+