1 Wafalme 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kama anavyoishi Yehova Mungu wako,+ hakuna taifa wala ufalme ambapo bwana wangu hajawatuma watu wakutafute. Waliposema, ‘Hayupo hapa,’ akafanya ufalme na taifa kuapa kwamba hawakuweza kukupata.+
10 Kama anavyoishi Yehova Mungu wako,+ hakuna taifa wala ufalme ambapo bwana wangu hajawatuma watu wakutafute. Waliposema, ‘Hayupo hapa,’ akafanya ufalme na taifa kuapa kwamba hawakuweza kukupata.+