Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 8:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia yaliyo mabaya.+ Nimechukia kujiinua na kiburi+ na njia mbaya na kinywa kipotovu.+

  • Methali 14:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Katika kumwogopa Yehova kuna uhakika wenye nguvu,+ na wanawe watakuwa na kimbilio.+

  • Malaki 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Wakati huo wale wenye kumwogopa Yehova+ wakasemezana, kila mmoja na mwenzake, na Yehova akaendelea kutoa uangalifu na kusikiliza.+ Na kitabu cha kumbukumbu kikaanza kuandikwa mbele zake+ kwa ajili ya wale wenye kumwogopa Yehova na kwa ajili ya wale wanaolifikiria jina lake.+

  • Matendo 10:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 mtu mwenye kuheshimu+ na kumwogopa+ Mungu pamoja na watu wote wa nyumba yake, naye aliwapa watu+ zawadi nyingi za rehema na kuomba dua kwa Mungu sikuzote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki