Methali 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Jina la Yehova ni mnara wenye nguvu.+ Mwadilifu hukimbilia humo na kupewa ulinzi.+ Isaya 26:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Nendeni, watu wangu, ingia katika vyumba vyako vya ndani, na ufunge milango nyuma yako.+ Jifiche kwa kitambo kidogo mpaka hukumu itakapopita.+ Yeremia 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yehova amesema: “Hakika nitakuhudumia upate mema.+ Hakika nitakutetea wakati wa msiba na wakati wa taabu,+ juu ya adui.+ Waroma 8:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+
20 “Nendeni, watu wangu, ingia katika vyumba vyako vya ndani, na ufunge milango nyuma yako.+ Jifiche kwa kitambo kidogo mpaka hukumu itakapopita.+
11 Yehova amesema: “Hakika nitakuhudumia upate mema.+ Hakika nitakutetea wakati wa msiba na wakati wa taabu,+ juu ya adui.+
31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+