Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 13:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Basi Abramu akaendelea kuishi katika mahema. Baadaye akaja na kukaa kati ya miti mikubwa ya Mamre,+ ambayo iko katika Hebroni;+ na huko akamjengea Yehova madhabahu.+

  • Kumbukumbu la Torati 12:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Nawe utatoa matoleo yako ya kuteketezwa,+ nyama na damu,+ juu ya madhabahu ya Yehova Mungu wako; na damu ya dhabihu zako itamiminwa juu ya madhabahu ya Yehova+ Mungu wako, bali nyama unaweza kula.

  • 1 Wafalme 18:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Nanyi mliitie jina la mungu wenu,+ nami, kwa upande wangu, nitaliitia jina la Yehova; na itatukia kwamba yule Mungu wa kweli atakayejibu kupitia moto,+ huyo ndiye Mungu wa kweli.”+ Kwa hiyo watu wote wakajibu na kusema: “Jambo hili ni jema.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki