18 Basi Abramu akaendelea kuishi katika mahema. Baadaye akaja na kukaa kati ya miti mikubwa ya Mamre,+ ambayo iko katika Hebroni;+ na huko akamjengea Yehova madhabahu.+
27 Nawe utatoa matoleo yako ya kuteketezwa,+ nyama na damu,+ juu ya madhabahu ya Yehova Mungu wako; na damu ya dhabihu zako itamiminwa juu ya madhabahu ya Yehova+ Mungu wako, bali nyama unaweza kula.
24 Nanyi mliitie jina la mungu wenu,+ nami, kwa upande wangu, nitaliitia jina la Yehova; na itatukia kwamba yule Mungu wa kweli atakayejibu kupitia moto,+ huyo ndiye Mungu wa kweli.”+ Kwa hiyo watu wote wakajibu na kusema: “Jambo hili ni jema.”