Kumbukumbu la Torati 12:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Mtatoa mahali hapo dhabihu zenu za kuteketezwa, nyama na damu,+ juu ya madhabahu ya Yehova Mungu wenu, na damu ya dhabihu zenu inapaswa kumwagwa kando ya madhabahu+ ya Yehova Mungu wenu, lakini mnaweza kula nyama.
27 Mtatoa mahali hapo dhabihu zenu za kuteketezwa, nyama na damu,+ juu ya madhabahu ya Yehova Mungu wenu, na damu ya dhabihu zenu inapaswa kumwagwa kando ya madhabahu+ ya Yehova Mungu wenu, lakini mnaweza kula nyama.