Kumbukumbu la Torati 12:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Nawe utatoa matoleo yako ya kuteketezwa,+ nyama na damu,+ juu ya madhabahu ya Yehova Mungu wako; na damu ya dhabihu zako itamiminwa juu ya madhabahu ya Yehova+ Mungu wako, bali nyama unaweza kula.
27 Nawe utatoa matoleo yako ya kuteketezwa,+ nyama na damu,+ juu ya madhabahu ya Yehova Mungu wako; na damu ya dhabihu zako itamiminwa juu ya madhabahu ya Yehova+ Mungu wako, bali nyama unaweza kula.