Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 4:29, 30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha mnyama wa dhabihu ya dhambi na kumchinjia mahali ambapo dhabihu za kuteketezwa huchinjwa.+ 30 Kuhani atachukua kwa kidole chake kiasi kidogo cha damu ya mnyama huyo na kuitia kwenye pembe za madhabahu ya dhabihu za kuteketezwa, naye atamwaga damu yote inayobaki kwenye msingi wa madhabahu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki