10 “‘Ikiwa anatoa dhabihu kutoka katika kundi,+ yaani, kutoka kati ya wanakondoo dume au mbuzi, anapaswa kutoa dume asiye na kasoro.+ 11 Atachinjiwa upande wa kaskazini wa madhabahu mbele za Yehova, nao wana wa Haruni, makuhani, watanyunyiza damu yake pande zote za madhabahu.+