Mambo ya Walawi 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “‘Ikiwa anatoa dhabihu ya kuteketezwa kutoka kati ya mifugo yake, anapaswa kutoa mnyama dume asiye na kasoro.+ Atamtoa kwa hiari yake mwenyewe+ mbele za Yehova kwenye mlango wa hema la mkutano. Mambo ya Walawi 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Atachinjiwa upande wa kaskazini wa madhabahu mbele za Yehova, nao wana wa Haruni, makuhani, watanyunyiza damu yake pande zote za madhabahu.+
3 “‘Ikiwa anatoa dhabihu ya kuteketezwa kutoka kati ya mifugo yake, anapaswa kutoa mnyama dume asiye na kasoro.+ Atamtoa kwa hiari yake mwenyewe+ mbele za Yehova kwenye mlango wa hema la mkutano.
11 Atachinjiwa upande wa kaskazini wa madhabahu mbele za Yehova, nao wana wa Haruni, makuhani, watanyunyiza damu yake pande zote za madhabahu.+