Mambo ya Walawi 6:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Sema na Haruni na wanawe, na kuwaambia, ‘Hii ndiyo sheria ya toleo la dhambi:+ Katika mahali+ ambapo toleo la kuteketezwa huchinjiwa kwa ukawaida, toleo la dhambi litachinjwa mbele za Yehova. Ni kitu kitakatifu zaidi.+ Mambo ya Walawi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 6:25 “Kila Andiko,” uku. 27
25 “Sema na Haruni na wanawe, na kuwaambia, ‘Hii ndiyo sheria ya toleo la dhambi:+ Katika mahali+ ambapo toleo la kuteketezwa huchinjiwa kwa ukawaida, toleo la dhambi litachinjwa mbele za Yehova. Ni kitu kitakatifu zaidi.+