Kutoka 29:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Nawe utamtoa yule mwana-kondoo dume wa pili kati ya zile jioni mbili. Pamoja na toleo la nafaka+ kama lile la asubuhi na pamoja na toleo la kinywaji kama lake, utamtoa awe harufu ya kutuliza, toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto. Zaburi 141:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Sala yangu na itayarishwe kama uvumba+ mbele zako,+Kuinuliwa kwa mikono yangu kama toleo la jioni la nafaka.+ Matendo 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Basi Petro na Yohana walikuwa wakipanda kwenda hekaluni kwa ajili ya saa ya sala, saa tisa,+
41 Nawe utamtoa yule mwana-kondoo dume wa pili kati ya zile jioni mbili. Pamoja na toleo la nafaka+ kama lile la asubuhi na pamoja na toleo la kinywaji kama lake, utamtoa awe harufu ya kutuliza, toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto.
2 Sala yangu na itayarishwe kama uvumba+ mbele zako,+Kuinuliwa kwa mikono yangu kama toleo la jioni la nafaka.+