17Na Eliya+ Mtishbi kutoka kwa wakaaji wa Gileadi+ akamwambia Ahabu: “Kama anavyoishi+ Yehova Mungu wa Israeli, ambaye ninasimama mbele zake,+ miaka hii hakutakuwa na umande wala mvua,+ isipokuwa kwa agizo la neno langu!”+
10“Mwombeni Yehova mvua+ wakati wa mvua ya masika,+ Yehova anayefanya mawingu ya dhoruba,+ ambaye huwapa mvua kubwa,+ na kumpa kila mmoja mimea shambani.+