Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 28:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na, tazama! Yehova alikuwa amesimama juu yake, naye akaanza kusema:+

      “Mimi ni Yehova Mungu wa Abrahamu baba yako na Mungu wa Isaka.+ Nchi ambayo unalala juu yake, nitakupa wewe na uzao wako.+

  • Mwanzo 31:53
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 53 Acha mungu wa Abrahamu+ na mungu wa Nahori+ ahukumu kati yetu, mungu wa baba yao.” Lakini Yakobo akaapa kwa Hofu ya baba yake Isaka.+

  • Mwanzo 32:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Baada ya hayo Yakobo akasema: “Ee Mungu wa baba yangu Abrahamu na Mungu wa baba yangu Isaka,+ Ee Yehova, wewe unayeniambia, ‘Rudi kwenye nchi yako na kwa watu wa jamaa yako nami nitakutendea vema,’+

  • Mwanzo 46:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Naye akaendelea kusema: “Mimi ndiye Mungu wa kweli,+ Mungu wa baba yako.+ Usiogope kwenda Misri, kwa maana nitakufanya uwe taifa kubwa huko.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki