Mwanzo 28:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na, tazama! Yehova alikuwa amesimama juu yake, naye akaanza kusema:+ “Mimi ni Yehova Mungu wa Abrahamu baba yako na Mungu wa Isaka.+ Nchi ambayo unalala juu yake, nitakupa wewe na uzao wako.+ Mwanzo 31:53 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 53 Acha mungu wa Abrahamu+ na mungu wa Nahori+ ahukumu kati yetu, mungu wa baba yao.” Lakini Yakobo akaapa kwa Hofu ya baba yake Isaka.+ Mwanzo 32:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Baada ya hayo Yakobo akasema: “Ee Mungu wa baba yangu Abrahamu na Mungu wa baba yangu Isaka,+ Ee Yehova, wewe unayeniambia, ‘Rudi kwenye nchi yako na kwa watu wa jamaa yako nami nitakutendea vema,’+ Mwanzo 46:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye akaendelea kusema: “Mimi ndiye Mungu wa kweli,+ Mungu wa baba yako.+ Usiogope kwenda Misri, kwa maana nitakufanya uwe taifa kubwa huko.+
13 Na, tazama! Yehova alikuwa amesimama juu yake, naye akaanza kusema:+ “Mimi ni Yehova Mungu wa Abrahamu baba yako na Mungu wa Isaka.+ Nchi ambayo unalala juu yake, nitakupa wewe na uzao wako.+
53 Acha mungu wa Abrahamu+ na mungu wa Nahori+ ahukumu kati yetu, mungu wa baba yao.” Lakini Yakobo akaapa kwa Hofu ya baba yake Isaka.+
9 Baada ya hayo Yakobo akasema: “Ee Mungu wa baba yangu Abrahamu na Mungu wa baba yangu Isaka,+ Ee Yehova, wewe unayeniambia, ‘Rudi kwenye nchi yako na kwa watu wa jamaa yako nami nitakutendea vema,’+
3 Naye akaendelea kusema: “Mimi ndiye Mungu wa kweli,+ Mungu wa baba yako.+ Usiogope kwenda Misri, kwa maana nitakufanya uwe taifa kubwa huko.+