Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 18:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa maana nimezishika njia za Yehova,+

      Wala kwa uovu sikuondoka kwa Mungu wangu.+

  • Zaburi 71:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Ee Mungu, umenifundisha tangu ujana wangu,+

      Na mpaka sasa ninaendelea kutangaza kazi zako za ajabu.+

  • Methali 8:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia yaliyo mabaya.+ Nimechukia kujiinua na kiburi+ na njia mbaya na kinywa kipotovu.+

  • Mhubiri 7:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ni afadhali ushikilie upande mmoja, lakini usiachilie ule mwingine;+ kwa maana yeye anayemwogopa Mungu atatoka akiwa na zote hizo.+

  • Mhubiri 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mkumbuke, sasa, Muumba wako Mkuu katika siku za ujana wako,+ kabla siku zenye msiba hazijaja,+ au miaka iwe imefika wakati utasema:+ “Sipendezwi nayo”;+

  • Isaya 50:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ni nani kati yenu anayemwogopa+ Yehova, akiisikiliza sauti ya mtumishi wake,+ ambaye ametembea katika giza+ lenye kudumu na ambaye kwa ajili yake kumekuwa hakuna mwangaza? Na alitegemee jina la Yehova+ na kujitegemeza juu ya Mungu wake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki