12Mkumbuke, sasa, Muumba wako Mkuu katika siku za ujana wako,+ kabla siku zenye msiba hazijaja,+ au miaka iwe imefika wakati utasema:+ “Sipendezwi nayo”;+
10 Ni nani kati yenu anayemwogopa+ Yehova, akiisikiliza sauti ya mtumishi wake,+ ambaye ametembea katika giza+ lenye kudumu na ambaye kwa ajili yake kumekuwa hakuna mwangaza? Na alitegemee jina la Yehova+ na kujitegemeza juu ya Mungu wake.+