Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 11:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Mwana wa binadamu alikuja akiwa anakula na kunywa,+ na bado watu wanasema, ‘Tazama! Mtu mlafi na mwenye mazoea ya kunywa divai, rafiki ya wakusanya-kodi na watenda-dhambi.’+ Hata hivyo, hekima huonyeshwa kuwa yenye uadilifu kwa matendo yake.”+

  • Mathayo 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wakati huo Yesu akapita katikati ya mashamba ya nafaka siku ya sabato.+ Wanafunzi wake wakaona njaa na kuanza kukata masuke ya nafaka na kula.+

  • Wafilipi 4:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Usawaziko wenu+ na ujulikane kwa watu wote. Bwana yuko karibu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki