Mathayo 11:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mwana wa binadamu alikuja akiwa anakula na kunywa,+ na bado watu wanasema, ‘Tazama! Mtu mlafi na mwenye mazoea ya kunywa divai, rafiki ya wakusanya-kodi na watenda-dhambi.’+ Hata hivyo, hekima huonyeshwa kuwa yenye uadilifu kwa matendo yake.”+ Mathayo 12:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wakati huo Yesu akapita katikati ya mashamba ya nafaka siku ya sabato.+ Wanafunzi wake wakaona njaa na kuanza kukata masuke ya nafaka na kula.+ Wafilipi 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Usawaziko wenu+ na ujulikane kwa watu wote. Bwana yuko karibu.+
19 Mwana wa binadamu alikuja akiwa anakula na kunywa,+ na bado watu wanasema, ‘Tazama! Mtu mlafi na mwenye mazoea ya kunywa divai, rafiki ya wakusanya-kodi na watenda-dhambi.’+ Hata hivyo, hekima huonyeshwa kuwa yenye uadilifu kwa matendo yake.”+
12 Wakati huo Yesu akapita katikati ya mashamba ya nafaka siku ya sabato.+ Wanafunzi wake wakaona njaa na kuanza kukata masuke ya nafaka na kula.+