Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 12:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na siku ya kwanza kutakuwa na mkusanyiko mtakatifu kwa ajili yenu, na siku ya saba mkusanyiko mtakatifu.+ Hakuna kazi yoyote itakayofanywa katika siku hizo.+ Ila tu kile ambacho kila nafsi inahitaji kula, hicho tu kinaweza kufanywa kwa ajili yenu.+

  • Kumbukumbu la Torati 23:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “Ikiwa utaenda kwenye nafaka ya mwenzako inayosimama, utachuma masuke yaliyoiva tu kwa mkono wako, lakini usiusogeze mundu huku na huku juu ya nafaka inayosimama ya mwenzako.+

  • Luka 6:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi siku moja ya sabato alikuwa anapita katikati ya mashamba ya nafaka, na wanafunzi wake walikuwa wakivunja+ na kula masuke ya nafaka, wakiyapukusa kwa mikono yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki