16 Nao wakamwambia: “Tazama, sasa, watumishi wako wanao wanaume 50 mashujaa. Tafadhali acha waende, wamtafute bwana wako. Labda roho+ ya Yehova imemwinua na kisha ikamtupa juu ya mmoja wa milima au katika moja la mabonde.” Lakini akasema: “Msiwatume.”