Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 2:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nao wakamwambia: “Tazama, sasa, watumishi wako wanao wanaume 50 mashujaa. Tafadhali acha waende, wamtafute bwana wako. Labda roho+ ya Yehova imemwinua na kisha ikamtupa juu ya mmoja wa milima au katika moja la mabonde.” Lakini akasema: “Msiwatume.”

  • Ezekieli 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nayo roho ikaniinua+ nami nikaanza kusikia nyuma yangu kishindo cha mvumo mkubwa:+ “Na ubarikiwe utukufu wa Yehova kutoka katika mahali pake.”+

  • Mathayo 4:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ndipo Yesu akaongozwa na roho kuingia nyikani+ ili kujaribiwa+ na Ibilisi.

  • Matendo 8:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Walipokuwa wamepanda kutoka ndani ya maji, roho ya Yehova ikamwondoa Filipo upesi,+ na towashi hakumwona tena kamwe, kwa maana aliendelea kwenda zake akishangilia.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki