16 Wakamwambia: “Hapa sisi watumishi wako tuna wanaume mashujaa 50. Tafadhali, waruhusu waende kumtafuta bwana wako. Labda roho ya Yehova imemwinua juu na kumtupa juu ya mojawapo ya milima au katika mojawapo ya mabonde.”+ Lakini akawaambia: “Msiwatume.”